January 29, 2018

February 2018 A family that has a son will never lose the debts owed to them. Rendille (Kenya) Proverb

  Goobi inam dele mogtils ma babaato. (Rendille)
Jamii ambayo ina mtoto mwanaume haiwezi poteza deni zao kutoka kwa majirani. (Swahili)
La famille qui a un fils ne perdra pas ses dettes auprès du voisin. (French)
A family that has a son will never lose the debts owed to them. (English)

Rendille (Kenya) Proverb

January 3, 2018

January 2018 To make marks on the trees. Sukuma (Tanzania) Proverb/Story

Kusema (Kutema) mbago. (Sukuma)
Kuweka alama kwenye miti. (Swahili)
Marquer des marques sur l'arbre. (French)
To make marks on the trees. (English)

Sukuma (Tanzania) Proverb/Story

December 5, 2017

December 2017 There is no venom such as that of the tongue. Makonde (Kenya, Tanzania) Proverb

  Apali kenga sumu ya ulimi. (Makonde)
Hakuna sumu kama ya ulimi. (Swahili)
Il n’y a pas du poison comme la langue. (French)
There is no venom such as that of the tongue. (English)

Makonde (Kenya, Tanzania) Proverb

October 31, 2017

November 2017 All trees are not straight in the forest. Kwele (DRC, Gabon, Cameroon, Republic of the Congo) Proverb

  A ho te mbouoo. (Kwele)
Miti yote msituni haifanani. (Swahili)
Tous les arbres dans la forêt
ne sont pas semblable. (French)
All trees are not straight in the forest
. (English)

Kwele (DRC, Gabon, Cameroon, Republic of the Congo) Proverb

October 1, 2017

October, 2017 Who loses the first born throws away his or her gods. Bwisha (Democratic Republic of Congo — DRC) Proverb

Ubuza imfura ata ibiheko. (Bwisha)
Mwenyi anapoteza mtoto wa kwanza hutupa miungu. (Swahili)
Qui perd son fils aîné jette ses dieux. (French)
Who loses the first born throws away his or her gods. (English)

Bwisha (Democratic Republic of Congo -- DRC) Proverb

August 30, 2017

September, 2017 It is wise to keep checking. Haya (Tanzania) Proverb

Aheleka atashulize bamwetera okubaga.  (Haya)
Ukiwekesha kitu bila kufatilia utashutukia kimeharibika. (Swahili)
C'est très judicieux de continuer à controller. (French)
It is wise to keep checking. (English)

Haya (Tanzania) Proverb

August 1, 2017

August 2017 You milk someone else’s cow while watching the gate. Tachoni (Kenya) Proverb

  Okhama ing’ombe nolengela iketi. (Tachoni)
Ukikamua ng’ombe ya wenyewe huwe ukiangalia langoni. (Swahili)
Tu extrais la vache de quelqu'untout en regardant à la porte. (French)
You milk someone else’s cow while watching the gate. (English)

Tachoni (Kenya) Proverb

July 1, 2017

July, 2017 A cow does not lack a spot. Tugen (Kenya) Proverb

  Mapatien tisian tany. (Tugen)
Ng’ombe haikosi madowadowa. (Swahili)
Une vache ne manque pas une tache. (French)
A cow does not lack a spot. (English)

Tugen (Kenya) Proverb

June 5, 2017

June, 2017 There is no rush. Take it easy. Sukuma (Tanzania) Saying

Nduhu wangu wangu. (Sukuma)
Hakuna haraka. (Swahili)
Pas besoin de courir, prens-le modément. (French)
There is no rush. Take it easy. (English)


Sukuma (Tanzania) Saying